Friday, August 17, 2012

SEMINA YA NENO LA MUNGU ILIOFANYWA NA WATUMISHI WA BWANA MCHUNGAJI GLEN NA MKEWE DENNISE KUTOKA MAREKANI

washirika wa kanisa la Revival Glory Center wakisikiliza kwa makini neno la Mungu lililo kuwa likitolewa na pastor Dennise
mchungaji Glen na mchungaji kiongozi wa kanisa la Revival Glory Center wakiwa madhabahuni wakihubiri neno la Mungu siku ya jumapili.
Mchungaji kiongozi John chambo (kulia) na mchungaji Glen alipo wahudumia washirika neno la mungu jumapili hii katika semina ilio kua ikiendelea katika kanisa la E.A.G.(T)Revival glory center.

No comments: